Huyu mpare tu!

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,290
Reaction score
2,468
Tajiri kanunua mbuzi!

Akamwambia mpishi!

Nyama nusu ipike pilau na nyingine itie kwenye friza!

K ichwa fanya supu na miguu fanya mchuzi chukuchuku!

Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pika na ndizi!

Mavi weka kwenye bustani. ni mbolea nzuri

Na mifupa tutawauzia wenye mbwa!

Mpishi akamuliza:

Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako?
 
Duh!mimi simo!sina utani na wapare labda wangekuwa wagogo ningesema kitu!!!!!
 
huyu ni mjasiriamali, nothing goes to waste ... ispokuwa hizo ringtones.
 
Wakuu, wapare wamezidi. Hawatupi kitu. Hata mchinjaji wake ni mpare aliyetoa wazo la ringtone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…