hayo ni mabaki ya mafuta, hilo tank limetoka mkoani/congo/zambia/malawi etc na linakuja Dar kujaza mafuta, hivyo kwenye tank huwa kuna mafuta mabaki kidogo sana NDIO MAANA HATA MADEREVA huwa wanawaruhusu tu na wanawaacha tu wafanya wanachofanya kwasababu hapo wanakuwa wako safarini kwenda kujaza mafuta. ukisimama pale ubungoubungo ni kitu cha kawaida,madereva wanawaona, wanawaacha tu etc.
HOWEVER, ni hatari sana na inatakiwa kukemewa kwasababu mafuta kidogo tu yakilipuka kama ndo mko pale kwenye foleni mataa ya ubungoubungo walioko kwenye foleni wote inakuwa mshikemshike. hii kitu inafanyika sana pale mataa ya ubungoubungo.