Huyu mrembo aisee Ni mkali ile mbaya

Alaahh... Naona Idi imeanza sasa
 
Nangoja ageuke nione Msambwanda ndio nitie neno, vinginevyo hapanaaaa.
 
Mzuri Angepiga picha za ovyo IG?muuza nyama wa kawaida huyo
 
Acheni kujazana ujinga. uwezi sifia uzuri wa mtu kwa picha ya photoshop!!! Hivi ninyi watu mlizaliwaje? matakhoni? #fool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…