Huyu mrembo ndo story ya town.. Diamond kiboko, pole Zari

divorce inampa uchizi,bora arudi bongo aanze maisha upya

Matatizo picha aliyoiweka bongo si Mange yule alivyo. Angerudi hata ile MBA ya Walongalonga ingetambulika na angepewa kazi.
 
Mange anahangaika jamani sasa ib kashotoka kumpigia debe hamissa kahamia kwa hichi kitoto ana chuki sana hyu dada
 
huyu mama amezidi uswahili sana, kazi kushinda kwenye social media
Namtetea kuna kina mama kibao wako social media kuwataja wachache hadija koppa, mama hamisa, mama lulu, mawaziri wanawake kibao acha ushamba. Mama Simba upo juuu
 
Namtetea kuna kina mama kibao wako social media kuwataja wachache hadija koppa, mama hamisa, mama lulu, mawaziri wanawake kibao acha ushamba. Mama Simba upo juuu

haya nimeuacha ushamba
 
We mwanaume mzima badala ya kufanya kazi umekalia umbea w Wanawake kweli nchi hii ina kazi
Kwani na wewe umefata nn huku kama sio mmbeya si ungepita hiviii au ...kwani lazima ufungue kila thread unayoiona [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Mi thread km hii ndo inatupa muonekana mbaya wa watu Dar but I think itakuwa product ya Tanganyika masagati
 
Wakwe kazi yetu ni kutia ndoa za watoto dosari;
mwambieni huyo mama wazuri ni wengi na wote
wanataka hela ya mwanaye.
Matatizo mama hana shughuli ya kufanya zaidi ya maisha kumhusu mwanae.
Mbona tunamuhukumu huyu mama wakati source yenyewe ni Mange Kimambi?! Hivi si ni Mange huyu huyu ambae last week tu hapa alikomalia issue ya Zuleha kuwa ni mtoto wa Zari hadi alipoumbuliwa na picha za Zuleha na Zari wakati wapo wadogo?!!

All in all, nakubaliana na Mamndenyi; akina mama wengi ni majipu na haijalishi ikiwa mama mwenyewe ni msomi au ni mwenzangu mie; haijalishi ikiwa ana kazi au yupo yup tu; akina mama wengi majipu! Haijalishi ikiwa amekulia na bado anaishi uzunguni au ni wa Vingunguti; it doesn't matter! Akina mama wengi wanapenda sana kui-interfere relationship za watoto wao!! Ni mara chache sana kukuta akina mama wa pande zote mbili (Uswahilini na Uzunguni) wakikubaliana na matakwa ya watoto wao without a fight!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…