Huyu mrembo simuelewi kabisa

Confused confuser...
 
She is so sweet! Vp anafaa kuwa mke? Ana malengo nawe ya mda mrefu? Kakorofishana na baba yake umejaribu kupeleleza kosa ni lipi? Na kwann asimuombe msamaha baba yake? Kama kakosana na baba yake kashindwa kujirudi je kwako itakuwaje pindi mkiwa ktk ndoa? Je un malengo ya kumuoa?
Being so sweet sio issue mkuu, atakutia hasara utalazimika kusitisha projects zako za maendeleo ili kumhudumia yeye maana itakuwa too expensive kwa mtu aliye hostel, anyway sijui kipato chako ila wanaume tusilewe na uzuri wa mwanamke ili twende na wakati mbele ya macho ya watu, angalia mwanamke mwenye nidhamu yaanj mtoto wa kike anagombana na baba yake hadi anaamua kuondoa hivi hata huyo ni mwanamke kweli wa kukuweka ndani au wa kuwa nae.....
 
Kila siku zinavyokwenda wanaume tunazidi kupoteza uwezo wa kufikiri.

Bora uwe na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kuliko kuwa na tatizo la upungufu wa kufikiri.
 
Ninyi ni wapumbafu wote wabeya , wanafiki na wazinfaki

Lete story kamili siyo kuruka tu
 
Huu upupu peleka kule Facebook maana hata hueleweki unataka nini?!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…