FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Mrembo nimemfuatilia kwa muda mrefu sana hatimaye kaamua kunipa tunda, cha kushangaza baada ya kula tunda mrembo kaniuliza "una mpango gani na mimi? Nami nikamuuliza unataka mpango gani toka kwangu hakunijibu. Toka siku hiyo anakuwa haeleweki eleweki kuwa anataka nini? Tunda ananinyima. Nimemuuliza kama anataka Vitz hasemi kitu, nimlipie kodi ya nyumba? Ameniboa. Nimejikuta natinga kwenye hili jukwaa kwa mara ya kwanza ili wadada wazoefu na mahusiano mnisaidie kujua huyu mrembo anataka mpango gani toka kwangu? Ila ushauri kwa wadada ni kuwa go straight to the point unataka nini badala ya kujizungusha kama traffic anayetaka rushwa ila anashindwa kusema straight anatumia vitisho. Kama anataka ndoa si aseme, na ndoa gani inatangazwa kabla hamjajuana vizuri, tunda mara moja...
Mrembo nimemfuatilia kwa muda mrefu sana hatimaye kaamua kunipa tunda, cha kushangaza baada ya kula tunda mrembo kaniuliza "una mpango gani na mimi? Nami nikamuuliza unataka mpango gani toka kwangu hakunijibu. Toka siku hiyo anakuwa haeleweki eleweki kuwa anataka nini? Tunda ananinyima. Nimemuuliza kama anataka Vitz hasemi kitu, nimlipie kodi ya nyumba? Ameniboa. Nimejikuta natinga kwenye hili jukwaa kwa mara ya kwanza ili wadada wazoefu na mahusiano mnisaidie kujua huyu mrembo anataka mpango gani toka kwangu? Ila ushauri kwa wadada ni kuwa go straight to the point unataka nini badala ya kujizungusha kama traffic anayetaka rushwa ila anashindwa kusema straight anatumia vitisho. Kama anataka ndoa si aseme, na ndoa gani inatangazwa kabla hamjajuana vizuri, tunda mara moja...
Mrembo nimemfuatilia kwa muda mrefu sana hatimaye kaamua kunipa tunda, cha kushangaza baada ya kula tunda mrembo kaniuliza "una mpango gani na mimi? Nami nikamuuliza unataka mpango gani toka kwangu hakunijibu. Toka siku hiyo anakuwa haeleweki eleweki kuwa anataka nini? Tunda ananinyima. Nimemuuliza kama anataka Vitz hasemi kitu, nimlipie kodi ya nyumba? Ameniboa. Nimejikuta natinga kwenye hili jukwaa kwa mara ya kwanza ili wadada wazoefu na mahusiano mnisaidie kujua huyu mrembo anataka mpango gani toka kwangu? Ila ushauri kwa wadada ni kuwa go straight to the point unataka nini badala ya kujizungusha kama traffic anayetaka rushwa ila anashindwa kusema straight anatumia vitisho. Kama anataka ndoa si aseme, na ndoa gani inatangazwa kabla hamjajuana vizuri, tunda mara moja...
tabu ni mpango anaotaka. Hasa ukizingatia haeleweki kabisa, inakuwa kama ngoma inaanza upya kubembeleza na sitaki kumpoteza ingawa ni mapema mno.
he he he kaka ulionjeshwa sample ya bidhaa yake...imebaki kwako,ununue au uache...kama umemind kitumbua we mdanganye utamuoa
kongosho kumbe wewe ni she?Huna adabu!