Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekunyima nafasi ya kuonekana kwenye videos zake?Kiukweli huyu dogo ni fundi haswa hasa kwenye utunzi wa nyimbo zake na melod anazo tumia kiufupi bonge moja la msani, ila sasa nimekuwa nikijiuliza, kwanini vidio zake hupenda kuwa mwenyewe tofauti na hawa artist wenzake wa kizazi chake,,
Bange,kwanini vidio zake hupenda kuwa mwenyewe tofauti na hawa artist wenzake wa kizazi chake,,
Mbona una lalama kuhusu videos kumbe tatizo lako ni bandari! Hongera mkuu.ndio hivyo bandari imeuzwa ngojen wawape check kesho mpate mishahara,, nazan mpaka hapo umeelewa vya kutosha
😂😂😂budget labda hairuhusu😂
Ana depressionKiukweli huyu dogo ni fundi haswa hasa kwenye utunzi wa nyimbo zake na melod anazo tumia kiufupi bonge moja la msani, ila sasa nimekuwa nikijiuliza, kwanini vidio zake hupenda kuwa mwenyewe tofauti na hawa artist wenzake wa kizazi chake.
Aahaaaawengine viziwi japo aweke pisikali nasi tuinjoiii vidio zake,,
kwamba husikii ila unaona unaona vinono tu [emoji23][emoji23][emoji23]wengine viziwi japo aweke pisikali nasi tuinjoiii vidio zake,,
Ni ubunifu wake kazini anaupendaKiukweli huyu dogo ni fundi haswa hasa kwenye utunzi wa nyimbo zake na melod anazo tumia kiufupi bonge moja la msani, ila sasa nimekuwa nikijiuliza, kwanini vidio zake hupenda kuwa mwenyewe tofauti na hawa artist wenzake wa kizazi chake.