Huyu Msanii Jolie anajua sana akipata management nzuri atafika mbali

Jaman Dada anaimba huyu hapa tz simuon was kumfananisha nae
 
Ndio mwanae huyo!
Ametoa ngoma nyingine inaitwa Lawama hatari sana!

Zamu yenu wadau kumkojoza mwanae kama yeye alivyokua anajisifia kumkojoza Dada eti jide miaka 10
Bora angemmanage mwenyewe, kuwaachia fisi wengine ni kutafutiana lawama[emoji39] [emoji14]
 
Kweli kabisa nimesikia album yake imesikilizwa mara 300,000,000 week ya kwanza sasa ikapigwa ngomamoja toka kenye album yani nikabaki aah nini sasa hiki.
Kwakweli tunatofautiana sana, watu ambao nawaona kweli bado wanafanya muziki kina Chris Brown husikii akitamba kwenye charts zao wala kupata tuzo, kweli magumashi yako kila sehemu
 
Kwakweli tunatofautiana sana, watu ambao nawaona kweli bado wanafanya muziki kina Chris Brown husikii akitamba kwenye charts zao wala kupata tuzo, kweli magumashi yako kila sehemu
Hata mimi Chris Brown namsikiliza hata ngoma yake mpya naipenda, lakini nashangaa hawavunji hata rekodi wala haingizi ngoma kibao kwenye chart. leo naskia drake kaingiza ngoma saba billboard na kavunja rekodi ya michael jackson kwa kuingiza nyimbo 31 billboard mpaka sasa.
Au sisi tumezeeka maana yani nyimbo sizielewi
 
Kwakweli uzee umetunyemelea, waliozaliwa miaka ya karibu na 2000 wanatushangaa tunavyomkandia Drake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…