Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa..Huu wimbo enzi hizo Djalo Alungu alikua anaupiga sana pale TBC fm. Time is fleeting!!
Nas Biashara.
Angalia comment namba 10,nenda kamtafute mwenyewe Instagram.Kabisa..
Em tupe connection ya Dj Arungu atuambie huyu jamaa kapotelea wapi!?
Kuna kitu unajua...Angalia comment namba 10,nenda kamtafute mwenyewe Instagram.
Pia jamaa haitwi Dj arungu,jina lake ni Djalo Alungu. Now ni mkurugenzi kwenye Redio mpya ya vijana iliyoanzishwa na TBC chini ya mkurugenzi Ayoub Ryoba. Redio inaitwa Bongo fm.
Wazee...Ingia insta search maujanja Nas b, utam-dm kwa mda wako
🎙️Hawa ndo wasanii wa Dijaro arungu
Nas B,
Endru G,
Chief maker
Best naso
Mataluma
Na wengine nimewasahau, Nas B anangoma nyingi kali,nimezisahau majina.
Kuna jamaa Endru G anangoma yake kafanya na Barnaba inaitwa scola ,ngoma kali sana,
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Hawa ndo wasanii wa Dijaro arungu
Nas B,
Endru G,
Chief maker
Best naso
Mataluma
Na wengine nimewasahau, Nas B anangoma nyingi kali,nimezisahau majina.
Kuna jamaa Endru G anangoma yake kafanya na Barnaba inaitwa scola ,ngoma kali sana,
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Subir kutafuniwa kila kituWazee...
Yani mwanaume uka m dm mwanaume mwenzio.... we maliza kila kitu hapa Mambo yaishe.
Nas B ni mtayarishaji wa muziki (produsa), hata huo wimbo alijirekodia mwenyewe. Amefanya production ya nyimbo nyingi za injili, za kina Bon Mwaitege kama sikosei na wengine.Aliimba Dua la Kuku, aliimba huko pamoja records..
I have a story with him. View attachment 2921885
View attachment 2921887 Anybody.. p'se..
Unajua mengi...🎙️
Scola ×2
mbona unanitesa,
Furaha yangu unaiweka nyuma,
Nakosa Raha.