Mkuu nahisi utakuwa unatania tu, na sio kwamba umemaanisha.Wazee...
Yani mwanaume uka m dm mwanaume mwenzio.... we maliza kila kitu hapa Mambo yaishe.
Sio rock city hao jamaa ni wa Musoma.Huyo best naso na chief maker wa rock city ni kama walikuwa na hisa pale tbc fm kwa Djaro Arungu
Hawa ndo wasanii wa Dijaro arungu
Nas B,
Endru G,
Chief maker
Best naso
Mataluma
Na wengine nimewasahau, Nas B anangoma nyingi kali,nimezisahau majina.
Kuna jamaa Endru G anangoma yake kafanya na Barnaba inaitwa scola ,ngoma kali sana,
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Mbona alikuwa anapenda sana hizo Bongo flavour za kijijiniNyimbo alizokuwa akizicheza Djiaro kwa media zingine kuziskia ni mbinde sana.
Alikuwa ancheza vinyimbo flani ivi vya ki local hatari.
Bonge ya Ngoma ile [emoji91]kuna moja aliitoa na 20% inaitwa ' ng'ombe wa maskini hazai '
Una kituHawa ndo wasanii wa Dijaro arungu
Nas B,
Endru G,
Chief maker
Best naso
Mataluma
Na wengine nimewasahau, Nas B anangoma nyingi kali,nimezisahau majina.
Kuna jamaa Endru G anangoma yake kafanya na Barnaba inaitwa scola ,ngoma kali sana,
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app