Kauli ya kuumiza sana hiiKawaida hiyo.
Likes nying huwa kutoka kwa ndugu, washkja/marafiki na ambao ushawah kuwa na mahusiano nao.
Na ni ubinadamu tu,hakuna mapenz hapo
Sent from my iPhone using JamiiForums
🤣🤣🤣🤣🤣
Nn sasa [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
njoo pmNipe jina la account yako na mimi niku follow, niwe na like na ku-comment
Njoo wewenjoo pm
kabisa....kweli mkuu