Huyu Mtanzania ana ujasiri usio wa kawaida, wabongo bana

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
https://mahimeta.com/videoads/video_playback.mp4

Kutoka Mtwara huko Newala Mwanaume akata uume wake na kidole cha shahada cha mkono wa kushoto kisa anataka kumtumikia Mungu...!!! kwa habari zaidi usikose #hekaheka ya leo ifikapo sita na nusu hadi saba kamili mchana #leotenacloudsfm :
Subcribe Youtube channel #Geahhabibu
 
Sasa huyu si angetusaidia kutungua mywether Kwa sniper!!!
Aaah watu wengine banaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…