Mwalimu kamuuliza mtoto kati ya baba na mama nani shujaa.
Mtoto kajibu wote woga. Mwalimu, kwanini?
Mtoto akajibu :Baba akisafiri mama analala na mlinzi.
Mama akisafiri baba analala na dada (house girl).Wote wanaogopa kulala peke yao.
Mwalimu kamuuliza mtoto kati ya baba na mama nani shujaa.
Mtoto kajibu wote woga. Mwalimu, kwanini?
Mtoto akajibu :Baba akisafiri mama analala na mlinzi.
Mama akisafiri baba analala na dada (house girl).Wote wanaogopa kulala peke yao.