Huyu mtoto nahisi nitamla siku si nyingi

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Wife hapa home kamleta dogo mmoja kutoka Mwanza kwa Maelezo yake wife ni kwamba mahali alipokuwa amepanga alikuwa na rafiki yake ambae huyu dogo ndo mwanae...kwa hiyo kaomba aje akae hapa kwetu...alifika ana staha ila naona ashaujua mji.

Dogo anasoma hapo ISW Kijito sasa kila jioni kakiwa kanajisomea kanakuja kuniuliza maswali maswali ya chuo nikasaidie halafu kananikalia hovyo hovyo...yaani kuna nyakat hata ukakanye hakasikii...siwezi mwambia wife haka siku si nyingi moto utawaka kiasi changu kinataka kushindwa vipimio. Dogo anavutia na mimi pepo wa ngono ananivizia. Pepo toka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatariiiii
 
Ushauri wangu ni bora umwambie mkeo kinachoendelea kwa huyo binti kuwa mienendo yake imebadilika ili amkanye mwenyewe na ww ukiwepo. Maana kuficha siri ndio hatua ya kwanza ya usaliti.

Ushauri wa kizinzi: kama unaona unataka kukala hako katoto ebu anzia kwanza kwenye clinic za trust kule watakusaidia sana maana huwa havichelewi kusema "nina mimba yako"

NB: ukimkula huyo mtoto tegemea dharau kutoka kwake juu ya mkeo (hatokuwa anamuheshimu mkeo tena)
 
Achana nacho hata kuoga hakijaweza, inaoneka kichwani hakina kitu
 
Chai!
 

Tafuna tu huyo Mkuu.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…