nashindwa nimwite nani, ila nibwana tumezaa watoto 2,tunaishi pamoja mwaka wa 4 sasa. sikujui kwao hakujui kwetu naongea tu na ndugu zake kwenye simu, lini tutafunga ndoa anadai akipata hela wakati huo anmshahara takehome zaidi ya laki 8,nami pia ninamshahara wanguzaidi ya laki 4. zaidi kila kukicha lazima awasiliane na dada mmoja mwazo alidai dada wa rafiki yake nilipombana akadai ni x-girlfriend wake.nikimwambia naondoka anajifanya hanielewi hataki ni ondoke.mpaka najihisi kuchanganyikiwa rafiki ndugu hawatuelewi.