Huyu mtu tupo pamoja?

Huyu mtu tupo pamoja?

MAMAMO

Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
7
Reaction score
0
nashindwa nimwite nani, ila nibwana tumezaa watoto 2,tunaishi pamoja mwaka wa 4 sasa. sikujui kwao hakujui kwetu naongea tu na ndugu zake kwenye simu, lini tutafunga ndoa anadai akipata hela wakati huo anmshahara takehome zaidi ya laki 8,nami pia ninamshahara wanguzaidi ya laki 4. zaidi kila kukicha lazima awasiliane na dada mmoja mwazo alidai dada wa rafiki yake nilipombana akadai ni x-girlfriend wake.nikimwambia naondoka anajifanya hanielewi hataki ni ondoke.mpaka najihisi kuchanganyikiwa rafiki ndugu hawatuelewi.
 
Sasa mmewezaje kuishi miaka minne bila kujuliana familia zenu?we huogopi unaweza kuwa unaishi na jini?... Duh! Maajabu
 
huyo si muoaji,anaona kila anapoutaka mchezo,upo.inabidi jaribu kujipanga mwenyewe maisha yako
 
binadamu tupo tofauti...
unapoongea na ndugu zake kwenye simu,kwa nini usiwaalike waje uwatambue?
wewe nani kakuzuia kuleta ndugu zako awaone???????

wapo watu wengi hawapendi harusi.........
sio wote wanaoitwa mke na mume walifunga ndoa rasmi ya kanisa au msikiti....

kwa ufupi nyinyi ni tayari mke na mume....
 
Yani mnakaa pamoja na mna mpaka watoto na sio mtoto alafu hupajui kwao?Na yeye hapajui kwenu?Sababu ya kutojulikana kwa pande zote mbili ni zipi?Nwy kama hamna sababu poleni maana sio tu mnapotezeana muda ila nawaonea huruma hao watoto zaidi!Labda kama ndugu zenu wako nchi nyingine,.zaidi ya hapo ni bora tu muachane mapema kama hamna mpango wakua pamoja kiukweli!
 
binadamu tupo tofauti...
unapoongea na ndugu zake kwenye simu,kwa nini usiwaalike waje uwatambue?
wewe nani kakuzuia kuleta ndugu zako awaone???????

wapo watu wengi hawapendi harusi.........
sio wote wanaoitwa mke na mume walifunga ndoa rasmi ya kanisa au msikiti....

kwa ufupi nyinyi ni tayari mke na mume....

Kumbe una akili namna hii wewe kweli ni The Boss.

Point sana umeongea aisee
 
nashindwa nimwite nani, ila nibwana tumezaa watoto 2,tunaishi pamoja mwaka wa 4 sasa. sikujui kwao hakujui kwetu naongea tu na ndugu zake kwenye simu, lini tutafunga ndoa anadai akipata hela wakati huo anmshahara takehome zaidi ya laki 8,nami pia ninamshahara wanguzaidi ya laki 4. zaidi kila kukicha lazima awasiliane na dada mmoja mwazo alidai dada wa rafiki yake nilipombana akadai ni x-girlfriend wake.nikimwambia naondoka anajifanya hanielewi hataki ni ondoke.mpaka najihisi kuchanganyikiwa rafiki ndugu hawatuelewi.

Pole sana kwakweli. Inaonekana huyo ndugu amekuchoka, na anatafuta wa kufunga naye! Ongea naye ujue msimamo wake, kufunga ndoa sio lazima iwe ya sherehe kubwa!
 
Duh, sipati picha, hata inakuaje hata ukijifungua kusitokee ndugu hata mmoja wa pande yako wala yake kuja kuona mtoto. What kind of life style is that, mh hata na wewe ndugu yangu inamaana huna ndugu, wote hamjielewi.:juggle:
 
Chukua hatua haraka huwezi jua..mpaka sasa bado hujamfahamu vizuri jamaa
 
Mna watoto sasa inabidi ujue upande wa pili wa familia
 
nashindwa nimwite nani, ila nibwana tumezaa watoto 2,tunaishi pamoja mwaka wa 4 sasa. sikujui kwao hakujui kwetu naongea tu na ndugu zake kwenye simu, lini tutafunga ndoa anadai akipata hela wakati huo anmshahara takehome zaidi ya laki 8,nami pia ninamshahara wanguzaidi ya laki 4. zaidi kila kukicha lazima awasiliane na dada mmoja mwazo alidai dada wa rafiki yake nilipombana akadai ni x-girlfriend wake.nikimwambia naondoka anajifanya hanielewi hataki ni ondoke.mpaka najihisi kuchanganyikiwa rafiki ndugu hawatuelewi.

Hata ile coincidence ya kugongana na ndugu yako hata mmoja haijawahi kutokea in 4 years?? Kwa hiyo katika miaka minne hujatembelewa na ndugu zako my dear?? au wakikutembelea yeye anajificha?? samahani kwa maswali mengi, nashindwa kuamini macho yangu...

Enewei, ngoja nitoe ushauri... huyu hataki kuoa, yeye hapo ameshafika, mambo ya harusi unayawaza we peke ako... for him everything is perfect just the way it is... Sidhani hata kama huko nje anasemaga anaishi na mwanamke, anaishiaga kusema "I have 2 wonderful kids", Ili siku akitaka kuoa, aoe mwingine, halafu aseme huyu nilizaa nae tu...
Labda muwe mnaishi huko maulaya...ila kwetu Tanzania, you guys are abnormal... mi naona inabidi muanze upya...yeye aje kwenu apajue, mtambulishe kwa wazazi..na yeye akupeleke kwao ukapajue... akikataa..basi mama inabidi utembee na amani ya bwana, maana huyo atakua hakutakii mema... akikubali kufanya hivi then tunaweza sasa kufikiria ndoa... to some pipo ndoa ni kuishi pamoja, so hapa italingana na makubaliano yenu... Ila bwana katambulishananeni kwa ndugu zenu, This is our culture... This is the way to go my dear!!!
 
hana mpango wowote na wewe, keshakufanya kama kiwanda cha kufyetulia watoto, na hiyo kujifanya hataki uondoke ni vunga hana lolote huyo!
 
Back
Top Bottom