Huyu mtumishi achukuliwe hatua na kuonywa mara moja, anaenda kutengeneza chuki kubwa maofisini

Huyu mtumishi achukuliwe hatua na kuonywa mara moja, anaenda kutengeneza chuki kubwa maofisini

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kuna huyu mtumishi hapa kaandaa maombi kwa watumishi wa umma ili waweze "Kudumu kwenye nafasi zao" eti katikati ya vita.
Tayari hapa ameshawaandaa kisaikolojia kuwa kazini kwako kuna mtu/watu wanakuwekea kauzibe, kuna watu wanakuroga, kuna watu wanakuwekea mavitu sehemu yako safari zikija anaenda mwingine we huonekani umewekewa kiwingu, etc, ect.

Kibaya ni kwamba watamwamini asilimia kubwa wakiwa ni wanawake (wanaume mara chache kuamini huu upuuzi), na kila watakachoambiwa na chuki watakayobebeshwa watabeba.

Kitachotokea ni kutengeneza mtafakaruku kati yao and worse wanaweza kuwekeana vitu kwenye vinywaji mtu akadhurika mambo yakaharibika zaidi.

Suala hili linatakiwa kukemewa mara moja kabla hatujafika huko.

maombi.jpg
 
Wakuu,

Kuna huyu mtumishi hapa kaandaa maombi kwa watumishi wa umma ili waweze "Kudumu kwenye nafasi zao" eti katikati ya vita.
Tayari hapa ameshawaandaa kisaikolojia kuwa kazini kwako kuna mtu/watu wanakuwekea kauzibe, kuna watu wanakuroga, kuna watu wanakuwekea mavitu sehemu yako safari zikija anaenda mwingine we huonekani umewekewa kiwingu, etc, ect.

Kibaya ni kwamba watamwamini asilimia kubwa wakiwa ni wanawake (wanaume mara chache kuamini huu upuuzi), na kila watakachoambiwa na chuki watakayobebeshwa watabeba.

Kitachotokea ni kutengeneza mtafakaruku kati yao and worse wanaweza kuwekeana vitu kwenye vinywaji mtu akadhurika mambo yakaharibika zaidi.

Suala hili linatakiwa kukemewa mara moja kabla hatujafika huko.

Haina shida wacha mtumishi apige hela!
 
sasa hapo kibaya nn?kwani vita,husuda kweli hakuna maofisini?au unataka waende kwa waganga?
Huyu ana tofauti gani na mganga? Unaweza kupruv hiyo vita ipi? Huna hili wala lile unanyweshwa mambo ya ajabu sababu mtu kaambiwa wewe ndio unamzibia riziki.... siyo sawa
 
Huyu ana tofauti gani na mganga? Unaweza kupruv hiyo vita ipi? Huna hili wala lile unanyweshwa mambo ya ajabu sababu mtu kaambiwa wewe ndio unamzibia riziki.... siyo sawa
Unauliza vita gani ofisini?wtu mpk wanalogana sababu ya vyeo maofisini kila mtu aende anapoona nafsi yake itapona kutokana na shida zake km hao wameona waende huko waache waende wanotaka kwenda bagamoyo waache wakaloge
 
  • Thanks
Reactions: apk
Unauliza vita gani ofisini?wtu mpk wanalogana sababu ya vyeo maofisini kila mtu aende anapoona nafsi yake itapona kutokana na shida zake km hao wameona waende huko waache waende wanotaka kwenda bagamoyo waache wakaloge
Fitina, kwamba OSBON ndio anayekuloga pale kazini, usikubali akupe maji, ameshakuwekea dawa.... umekaa zako huna hili wala lile... huyu anaweza kupewa 'dawa' aje kukuwekea ili akate hiyo fitina kumbe ni sumu, anaweza kufanya mambo mengine ya ajabu kasababu kashaaminishwa hivyo
 
Back
Top Bottom