Mbombo ngafuNimekuwa nikiunga mkono kushushwa daraja kwa hawa wapuuzi Mbeya City ila kitendo alichofanya yule jamaa ni uhuni mtupu.
Huwezi kumpiga ngumi kocha wa timu pinzani, ni ukosefu wa nidhamu kwa mchezo wa soka ni nchini tanzania.
Hapa TFF wala msipepese macho.
Ligi ilikuwa imeanza kugain heshima ndani na nje ya mipaka, hatuwezi kuruhusu muhuni aliyeshiba mihogo ya mawese aendelee kuwa kaatika eneo la ndani kabisa la soka letu.
AFUNGIWE.
Wanajeshi wengi akili ziko mikononi kichwani ni weupe.Nimekuwa nikiunga mkono kushushwa daraja kwa hawa wapuuzi Mbeya City ila kitendo alichofanya yule jamaa ni uhuni mtupu.
Huwezi kumpiga ngumi kocha wa timu pinzani, ni ukosefu wa nidhamu kwa mchezo wa soka ni nchini tanzania.
Hapa TFF wala msipepese macho.
Ligi ilikuwa imeanza kugain heshima ndani na nje ya mipaka, hatuwezi kuruhusu muhuni aliyeshiba mihogo ya mawese aendelee kuwa kaatika eneo la ndani kabisa la soka letu.
AFUNGIWE.
Acha uongo kocha mwenyewe hata Kiswahili hajui?Yule kocha ana maneno machafu, uwezi fahamu alimfanya nini jamaa mpaka akahamua kumpiga
hoja naiunga mkonoNimekuwa nikiunga mkono kushushwa daraja kwa hawa wapuuzi Mbeya City ila kitendo alichofanya yule jamaa ni uhuni mtupu.
Huwezi kumpiga ngumi kocha wa timu pinzani, ni ukosefu wa nidhamu kwa mchezo wa soka ni nchini tanzania.
Hapa TFF wala msipepese macho.
Ligi ilikuwa imeanza kugain heshima ndani na nje ya mipaka, hatuwezi kuruhusu muhuni aliyeshiba mihogo ya mawese aendelee kuwa kaatika eneo la ndani kabisa la soka letu.
AFUNGIWE.