Huyu mupe huyu munyime: Kesi ya Kangi Lugola imefikia wapi, mbona bado anadunda mitaani?

Huyu mupe huyu munyime: Kesi ya Kangi Lugola imefikia wapi, mbona bado anadunda mitaani?

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Huu upendeleo unaoendelea nchini si mzuri unakusanya hasira ndani yetu mdogo mdogo. Huyu upelelezi ulishakamilika kwa mujibu wa Takukuru ila kwanini bado anadunda mtaani huku wengine wanasota rumande japo upelelezi haujakamilika.
 
Maigizo tu hayo. Wamehamia kwa Mbowe hao wehu.
 
Huu upendeleo unaoendelea nchini si mzuri unakusanya hasira ndani yetu mdogo mdogo. Huyu upelelezi ulishakamilika kwa mujibu wa Takukuru ila kwanini bado anadunda mtaani huku wengine wanasota rumande japo upelelezi haujakamilika.
Ingelikuwa vizuri ungeweka hapa ushahidi wa nini takukuru waligundua kwenye yale mahojiano. Mfano watuhumiawa walihusika vipi? Mmoja mmoja ungelichambua.
Pia tambua Dpp huwa hakurupuki hovyo kwenda mahakamani.
 
Ingelikuwa vizuri ungeweka hapa ushahidi wa nini takukuru waligundua kwenye yale mahojiano. Mfano watuhumiawa walihusika vipi? Mmoja mmoja ungelichambua.
Pia tambua Dpp huwa hakurupuki hovyo kwenda mahakamani.
Hiyo sio kazi yangu wao kama wanaona hana kesi waje watueleze tena kwa mbwembwe zile zile walizotumia kumzushia
 
Hiyo sio kazi yangu wao kama wanaona hana kesi waje watueleze tena kwa mbwembwe zile zile walizotumia kumzushia
Kama sio kazi yako mbona unasema kuna upendeleo. Kaa kimya ukweli kuhusu Chadema ufumuliwe.
 
Lugola sasa hivi katulia,ni mwoga balaa,hata kusema bwana asifiwe kanisani hawezi maana atakumbusha haro lake.
 
Ingelikuwa vizuri ungeweka hapa ushahidi wa nini takukuru waligundua kwenye yale mahojiano. Mfano watuhumiawa walihusika vipi? Mmoja mmoja ungelichambua.
Pia tambua Dpp huwa hakurupuki hovyo kwenda mahakamani.
DPP huwa anakurupuka kwenye zile kesi uchwara ambazo leo yule anayebambikiwa kesi anapewa shitaka hili kisha kesho anapewa shitaka lingine tofauti.
 
Back
Top Bottom