Ndiyo Tanzania ndugu yangu,utashitaki wangapi.Mbona hata kuna xray wanatoa wahisani kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa kwenye mahospitali ya serikali then zinapiga mzigo kote kote,yaani wanapanaga J3 mpaka J5 hospitali ya serikali na siku zinanosalia inatumika hospitali za private