Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Inakuwaje mwamuzi wa ligi Kuu anawaonyesha Kadi za njano Wachezaji 2 àmbao hawakufanya makosa? Yaani kosa anafanya mwingine Kadi anaonyeshwa mwingine?
Kelvin Yondan na Juma Mahadhi wameonyeshwa Kadi za njano wakati hawakuhusika kwenye matukio.
Waamuzi wa TFF mnaboa mpaka mnakera.
Kelvin Yondan na Juma Mahadhi wameonyeshwa Kadi za njano wakati hawakuhusika kwenye matukio.
Waamuzi wa TFF mnaboa mpaka mnakera.