Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ana akili sana huyo binti " mshukuru Mungu kwa kila jambo" nina imani ana Amani na faraja kubwa na Mungu atamsimamia,, Kufeli shuleni sio kufeli maisha
Mnaocheka endeleeni kumcheka ipo siku mtamuelewa,,, malipo ni hapa hapa duniani
Walikuwa wanataka kumsitiri Nape Nnauye.