Huyu mwanamke ananipelekea kuwa chizi

Huyu mwanamke ananipelekea kuwa chizi

Sharobaro la jf

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
237
Reaction score
325
Wakuu nakiri mapenzi ni kitu kingine ndio maana Mungu aliyaumba mapenzi. Kuna mwanamke ambae ninampenda sana ila tumegombana now wiki ya pili ila kakaa moyoni mwangu. Mimi ndie niliyeamua kumchunia kutokana na tabia zake alizokuwa akinifanyia ila kiukweli mawazo yananitesa muda mwingi nashinda namuwaza.

Nafahamu wanawake ni wengi najua naweza kumpata mwingine ila ukweli kwa huyu msichana nimedata nahisi hadi kuchanganyikiwa kwa mawazo.

Naombeni ushauri wakuu?
 
Wakuu nakiri mapenzi ni kitu kingine ndio maana Mungu aliyaumba mapenzi. Kuna mwanamke ambae ninampenda sana ila tumegombana now wiki ya pili ila kakaa moyoni mwangu. Mimi ndie nilieamua kumchunia kutokana na tabia zake alizokuwa akinifanyia ila kiukweli mawazo yananitesa mda mwingi nashinda namuwaza.

Nafahamu wanawake ni wengi najua naweza kumpata mwingine ila ukweli kwa huyu msichana nimedata nahisi hadi kuchanganyikiwa kwa mawazo.

Naombeni ushauri wakuu?
Nenda kamsemee kwa Job Ndugai
 
Wakuu nakiri mapenzi ni kitu kingine ndio maana Mungu aliyaumba mapenzi. Kuna mwanamke ambae ninampenda sana ila tumegombana now wiki ya pili ila kakaa moyoni mwangu. Mimi ndie nilieamua kumchunia kutokana na tabia zake alizokuwa akinifanyia ila kiukweli mawazo yananitesa mda mwingi nashinda namuwaza.

Nafahamu wanawake ni wengi najua naweza kumpata mwingine ila ukweli kwa huyu msichana nimedata nahisi hadi kuchanganyikiwa kwa mawazo.

Naombeni ushauri wakuu?
mfuate mzungumze myamalize
 
Shida ya hali kama hiyo mara nyingi huwa inakuwa ni upande mmoja, yaani yeye demu hakuoni hivyo jinsi wewe unavyomuona na siajabu hata moyoni mwake keshakumwaga kama hata keshawahi kukuweka , ushauri wangu utaumia bure, mwache tu asepe.
 
daaah kweli usemacho mkuu
Shida ya hali kama hiyo mara nyingi huwa inakuwa ni upande mmoja, yaani yeye demu hakuoni hivyo jinsi wewe unavyomuona na siajabu hata moyoni mwake keshakumwaga kama hata keshawahi kukuweka , ushauri wangu utaumia bure, mwache tu asepe.
 
Wakuu nakiri mapenzi ni kitu kingine ndio maana Mungu aliyaumba mapenzi. Kuna mwanamke ambae ninampenda sana ila tumegombana now wiki ya pili ila kakaa moyoni mwangu. Mimi ndie nilieamua kumchunia kutokana na tabia zake alizokuwa akinifanyia ila kiukweli mawazo yananitesa mda mwingi nashinda namuwaza.

Nafahamu wanawake ni wengi najua naweza kumpata mwingine ila ukweli kwa huyu msichana nimedata nahisi hadi kuchanganyikiwa kwa mawazo.

Naombeni ushauri waku
Jaribu kua busy na mambo yako..! kinachokutesa ni kua amekuacha ingawa wewe ndo bado unampenda..dah ulipaswa umsome mapema dalili hua zinaonekana tu..sasa huna namna cha msingi jitahidi use karibu na washikaji piga story japo kupoteza mawazo ikibidi Fanya kazi itakayo kufanya uchoke na kua busy..
 
Piga kazi mkuu acha kujiumiza tafuta hela umeshazingua wiki mbili ni nyingi sana uyo sio wako tena ukijirudi tu ujue utaumia zaidi ya sasa.
 
daah sawa mkuu nimekuelewa
Jaribu kua busy na mambo yako..! kinachokutesa ni kua amekuacha ingawa wewe ndo bado unampenda..dah ulipaswa umsome mapema dalili hua zinaonekana tu..sasa huna namna cha msingi jitahidi use karibu na washikaji piga story japo kupoteza mawazo ikibidi Fanya kazi itakayo kufanya uchoke na kua busy..
 
Back
Top Bottom