Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hakuna muda wa kuremba maneno
Mwanamke yuko tayari kuishi na mwanaume hata asiyempenda ili tu atimize hitaji lake.
Ukikamuliwa sana pesa hupendwi.
Jamaa mmoja alikuwa kila akipata shekeli lazima ampe huyo demu wake na demu anampelekea dume lake.
Siku moja rafiki wa njemba muhomgaji alimkuta demu anamwita jamaa jina la hovyo.
Na kusema hampendi. Jamaa akapitishiwa taarifa alivyopeleleza akagundua ni ukweli 100%.
Akajitenga na yule demu nyonya damu.
Kwa ufupi hakupendi, hupendwi
Mwanamke yuko tayari kuishi na mwanaume hata asiyempenda ili tu atimize hitaji lake.
Ukikamuliwa sana pesa hupendwi.
Jamaa mmoja alikuwa kila akipata shekeli lazima ampe huyo demu wake na demu anampelekea dume lake.
Siku moja rafiki wa njemba muhomgaji alimkuta demu anamwita jamaa jina la hovyo.
Na kusema hampendi. Jamaa akapitishiwa taarifa alivyopeleleza akagundua ni ukweli 100%.
Akajitenga na yule demu nyonya damu.
Kwa ufupi hakupendi, hupendwi