Huyu Mwanamke anataka kuniua

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Ana siku ya Tatu leo kajifungia gheto kwangu hataki kwenda kwao. Nilimwita for One night Show lakini kanogewa. Kila muda anataka tufanye mapenzi. Asubuhi kabla sijatoka anataka nimchakate, mchana nikirudi kula chakula anataka nimchakate, Jioni pia nikirudi kuoga kutoka kibandani kwangu anataka Nioge naye na kumchakata. Usiku ndio usiseme dadekii kila muda anataka.

Ana genye mshindo tangu juzi sijalala kwa Raha kila saa ananisumbua leo nimemuaga nasafiri kagoma kwenda kwao kasema ananisubiri.

Nimetoka na kibegi changu kidogo nimeenda kwa mshikaji wangu kupumzika ata siku mbili Nikusanye Nguvu ndio nirudi tena gheto kwangu.
 
Kakuona wewe mboga yake tena sio mboga tu wewe ni stafeli ambalo halijakomaa ila limeoza anasubiri kidogo tu ufe..
 
Kakuona wewe mboga yake tena sio mboga tu wewe ni stafeli ambalo halijakomaa ila limeoza anasubiri kidogo tu ufe..
Nataka niwasiliane na Father house Nimpoze aende amwambie kwamba kodi yangu imeisha hivyo aondoke anataka Afungie Vyombo mpaka nikirudi nikishindwa kulipa anauza kufidia
 
Mkuu hivyo ndio huwaga wanapata nyumba za kulala bila kulipa kodi. Yaani kwa kifupi huyo ndio ushaoa.
Basi kwangu hatoboi kuna mmoja alikuja na Begi zima lakini akasepa
 
Ukirudi unakuta na begi lake lipo ndani,hapo ndo haondoki tena.
Wengine huwa hatupeleki geto,siku hizi wanagoma kutoka.
Nitamuua na Njaa misosi gheto ikiisha siweki tena atasepa mwenyewe akikosa cha kupika
 
Nataka niwasiliane na Father house Nimpoze aende amwambie kwamba kodi yangu imeisha hivyo aondoke anataka Afungie Vyombo mpaka nikirudi nikishindwa kulipa anauza kufidia
Si atakulipia tu! Hapo ndo utajua umeangukia kwa shetani..😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…