Huyu Mwanamke anataka kuniua

Ndio maana mi siku zote nakushauri kwamba ukiopoa mademu wa kitaa ambao huna mpango nao zaidi ya kupita, usiwe unasimamia shoo sana. We umeopoa demu wa kupitisha nae siku halafu unataka upige shoo ya maana unazama mpaka chumvini ili akuone kidume.

Matokeo yake ndio kugandwa sasa na ukijidai mjanja anakuendea kwa babu unakua zezeta. Mademu wa kitaa we piga shoo ya kizembe mwenyewe atakukimbia na ndio inakua pona yako mradi we umeshaosha rungu.
 
Mkuu huyo anataka mimba. Au ukute anayo tayari..... Ni mawazo tuuu
 
Mkuu nimeachwa na demu wangu muda si mrefu Uzi huu pia umeniponza aisee
 
Nataka niwasiliane na Father house Nimpoze aende amwambie kwamba kodi yangu imeisha hivyo aondoke anataka Afungie Vyombo mpaka nikirudi nikishindwa kulipa anauza kufidia
Analipa kodi sa mkuu sijui utakimbilia wapi hilo tayari ni zigi lako
 
Wewe rudi geto, nunua ungo, ikifika usiku wa manane jifanye mchawi, uwe na shuka jeusi, weka ungo chini kalia anza kupiga manyanga hadi aamke akiamka we usimjali endelea kukomaa kutia gia ungoni, usiku huo huo ataaga.Uje unishukuru
 
mkuu kweli wewe zero iq sasa huyo ni mgogo au lakini chai haijakaa poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…