Huyu Mwanamke......Me n' My lil Girl (happy bday Malaika)


Safi sana mazee. Nimekukubali.
 

Kulea kuna maana gani?!Yeye anashinda kazini kumtafutia chakula nduguze wanashinda nae kumpa chakula alichompa!!Nini tena unataka ili aonekane kweli kalea?!
 
story yako imenigusa mno.mshukuru sana mama yako na dada yako kwa kukulelea malaika wako.huyo mama watoto wako atakuja kujuta baadae,nimefurahi pia kuwa wewe ni mmoja wa wababa wanaopenda watoto wao.maana wababa wanaongoza kwa kutelekeza watoto.mpe salam zangu malaika,mwambie kisukari anakutakia b.day njema.mungu atamkuza na kuwa binti mwenye maadili mema.ameen
 
Kulea kuna maana gani?!Yeye anashinda kazini kumtafutia chakula nduguze wanashinda nae kumpa chakula alichompa!!Nini tena unataka ili aonekane kweli kalea?!
Kuna wanaume (single parents) wanaolea kwa maana ya kuwabadilisha watoto nepi na kuwalisha. Na nimesema hivyo baada ya kuona sifa kibao zenye kuashiria kuwa jamaa ni single parent kwa hiyo anakaa na mtoto na ndiye mwenye kudili na ishu zote za mtoto on the contrary kumbe mwenye kuhangaika na mtoto ni bibi. Halafu kama kulea kunazungumzwa kwa maana ya kutafuta msosi hicho ni kitu cha kawaida sana kwa baba hapa Bongo na duniani kwa ujumla au we unaishi sayari gani???
 
Ndo Life bro, single parenting ni kitu cha kawaida this day, join the club! and to your mum umpe shukrani sana, kwa vile ndo anaelplay role kubwa ya kumlea baby girl wako.
To your angel, I wish her a HAPPY Birhtday on this special day and pray that she grows up fearing God :A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:May she grow to blow thousand candles!
 

Unajuaje hua habadilishi?!Unachoweza kugundua kwenye maelezo yake ni kwamba tu nduguze wako na mtoto muda mwingi na sio kwamba yeye hahusiki kwenye malezi moja kwa moja!!!Acha mwenzio apate sifa maana hata kama sio yeye anaebadilusha nepi kitendo cha kumpokea...kumpenda na kuhakikisha anakua na maisha mazuri kadri ya uwezo wake kinatosha kabisa kumtofautisha na wengi wenu!!
 

Da Womanizer!
Thanks kwa post yako na uelewa wako "zaidi" ya wengine.
 

Lizzy, heshima zako nyingi sana!
Kule kwenye uzi wa "Asha D"
Nimekuita mnoko lakini kwa kumanisha kuwa unaquality zote za uongozi.
Nadhani kitengo cha kusimamia nidhamu kinakufaa sana mtu wangu.
Naona hapa unamuweka sawa "Mwanajamii" mwenzetu
Nakukubali sana Lizzy.
 


mhh jaman...i mean kama uyo mzaz mwenzie km angekuwa ana quality za umaza kweli..

ntakuja usijali....mtakaa pande ipi..
 


Nimerudi aisee... i love cake too much sugar in it but napenda nikipata
nafasi ya kula cake siku hio nakula ipasavyo (sigusi chakula kingine)
Asante kwa welcome hio...

Naamini kweli kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu mtafika..
Don't worry about a thing (bcoz every little thing is gonna be alright ... ) -B Marley.
 

Sure "Evmem".
Sioni kama kuna nilichopoteza.
Maisha ni mazuri sana kama unatoa na kupokea mapenzi kwa wale unaowajali.
 
Hapo nimekusoma bibie, ukweli ni kwamba siwezi kujua kama anafanya hayo au hafanyi. Nimetoa maoni kulingana na jinsi nilivyomuelewa mtoa mada. Hapo kwenye bluu If I may ask wewe umejuaje kuwa ni wengi wetu?? (Of coz naweza kuwa mmoja wa wasiojali, lakini unajuaje kuwa ni wengi wetu?)
 

dah! Hongera malaika na pole kwa mkasa huo JouneGwalu. Its a sad story
 


Wow...asante sana JG...!
Kumbe unoko sio sifa mbaya afterall!!
 

Kazi sana!
By the way sihitaji sifa yoyote,
Wala hichi ninachopokea toka kwa "wanajamvi" (ambacho wewe unaita sifa)
Sio sababu ya mimi kushirikisha wanajamvi, japo naheshimu sana hoja za wote na kunakitu napata toka kwao (wanaonisifia kwa mujibu wako).
Mkuu hili ni jukwaa la Mahusiano-Mapenzi na Uhusiano, nimemega sehemu ya mkasa ambao kwangu na binti yangu vina maana sana.
Sababu wanajamii wa JF ni kama ndugu kwangu ndio nikawashirikisha kama ambavyo nimekuwa nawashirikisha na wao wananishirikisha mambo kibao hapa jamvini.
Nisaidie, we ulitaka watu wasemeje sasa?
Ila fanya hivi, kama we unaona mizinguo si unapotezea tu.
Hii thread wame-view watu zaidi ya 60 ila walio-reply ni 32 tu (mpaka sasa).
So kama vipi na wewe pita tu kama wengine kuliko kuanza ku-discourage wengine.
 

Hahhahaha...eti nimejuaje!!Sinawaona kila kona.....!
 
Wow...asante sana JG...!
Kumbe unoko sio sifa mbaya afterall!!

Huku sioni kitufe cha "like" wala "thanks"
Nahisi zimeniishia hadi.
Viongozi wazuri wote lazima waitwe wanoko.
JeyKey sio mnoko ndio maana goma linamshinda......
 
Huku sioni kitufe cha "like" wala "thanks"
Nahisi zimeniishia hadi.
Viongozi wazuri wote lazima waitwe wanoko.
JeyKey sio mnoko ndio maana goma linamshinda......

Weeee kitafute mpaka ukipate bana!!!
Alafu take it easy na Womenizer...ana point na mwenyewe nimemwelewa so na wewe jaribu kufanya hivyo!

HHEHEHEHE. kumbe ehhh!Sikuwahi kugundua hilo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…