marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
umeangalia video lkn kakaHawa wapinzani uchwara dawa yao ni Lugola tu akilenga hatanii na hakukosi
View attachment 848162
miAFRICA imelaaniwa tangu kizazi chao cha kwanzahebu angalia,polisi wote hao,wanalipwa pesa za walipakodi halafu cheki kazi wanayofanya,hivi sisi waafrika tumelaaniwa ama?
cheki video hii polisi wanachofanya nje ya nyumba ya besigye,ila nimefurahishwa na reaction ya mwanamke huyo..
africa tubadirike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Uganda mtu anaweza kuwachezea polisi namna hiyo ni kwanini wasimtie pingu na kumpeleka kituoni.
Sio kwa huyo mama wa kiganda. Halaf hapa ni vile jamii ya wayanzania wengi ni waoga. huyo lugola unaye muona hapa mjanja.. akipelekwa uganda atapwaya sanaaa maana kule wananchi si waoga kama huku.Hawa wapinzani uchwara dawa yao ni Lugola tu akilenga hatanii na hakukosi
View attachment 848162
hata ikiwa wanafanya kinyume na sheria?Huko Uganda mtu anaweza kuwachezea polisi namna hiyo ni kwanini wasimtie pingu na kumpeleka kituoni.
Kwa kosa lipi alilofanya huyo mama? Kosa lipi?Huko Uganda mtu anaweza kuwachezea polisi namna hiyo ni kwanini wasimtie pingu na kumpeleka kituoni.
Hebu endelea kufafanua mbumbumbu nikueleweNakumbuk ule usemi wa mwanamashairi wa Uganda wa song of lawino and ocol "the pumpikin in the old homestead,must not be uprooted"
Pia,ulwah kua quoted na mwanazuon maarufu hap jf.Malcom Lumumba.
Ni kwamba,kwa hili la uganda, niwaombe Ukawa,km walivyofany kwa Boby wine,warudie na kwa wanawake wa Uganda against oppression.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikusaidie kumuitaNakumbuk ule usemi wa mwanamashairi wa Uganda wa song of lawino and ocol "the pumpikin in the old homestead,must not be uprooted"
Pia,ulwah kua quoted na mwanazuon maarufu hap jf.Malcom Lumumba.
Ni kwamba,kwa hili la uganda, niwaombe Ukawa,km walivyofany kwa Boby wine,warudie na kwa wanawake wa Uganda against oppression.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wapinzani uchwara dawa yao ni Lugola tu akilenga hatanii na hakukosi
View attachment 848162
Wala hakuna cha laana hapa, ni Upumbavu na Ujinga wa mwafrika kukumbati mambo yasiyo ya msingi.
Kwa kosa ganiHuko Uganda mtu anaweza kuwachezea polisi namna hiyo ni kwanini wasimtie pingu na kumpeleka kituoni.
Mbona kama umejibu ulichonipinga! miAFRICA mingi hasa inayofanyakazi za Serikali mingi ni mipumbavWala hakuna cha laana hapa, ni Upumbavu na Ujinga wa mwafrika kukumbati mambo yasiyo ya msingi.