Huyu Mwanamke wa ajabu kweli

Wanawake ni watu ajabu sana akikutaka ukamtaa inakuwa nongwa mimi niliishawahi mpaka kurudishiwa kodi eti kisa nimemkataa mwanae yaani ilikuwa vituko tu mara wanizime umeme kupitia kwenye mainswitch mara wanifungie geti mapema😁
 
Huna akili kabisa Bata ww umetuabisha sana wanaume!!
 
Mimi naona wewe ndiye wa ajabu
 
UZINZI UZINZI MBAYA SANA,NIULIZE MIMI MADHARA YAKE.
 
kaa mbali nae utatembelewa kwa mpalange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…