Jesus Christ! yani hiyo ball control ni level yakina Ronaldinho.....Nimesikitika sana huyu dada hayupo kwenye payroll za timu za wanawake ulaya au marekani......wenzake wanalipwa kati ya dola 25,000 mpaka 400,000 (Mata yule mbrazili)...Kwa mwaka...na anaweza pata fedha za endorsements....matangazo etc
Vipi uwanjani ana perform vipi (mbio, pumzi, nguvu, stamina, management ya uwanja)
...kama bado yupo below 25 years wadau wamtafutie timu huko mbele aisee. akiwezeshwa huyo mwanamke ataboresha maisha ya wengi sana katika familia yake nahata kijiji atokacho. Ikiwezekan serikali imtafutie soko-wizara ya michezo.