Huyu mwanaume nimfanyaje.

Me nadhan anafikiri mambo yangu mazuri coz cku tumefahamiana nlipata ajali na gari nliyoazimwa na b,frind wangu ntumie kwa cku moja labda ndivyo anavyoniona..

kheee kumbe una jemba yako halafu unaumia fanya hii kitu nenda nae kwa bf wako iliumchoshe vingine utakuja hapa jamvini kuomba ushauri kila siku..
 
People knw how to fake when it comes to maintain their super egoes
 
Siyo ishu ya uchaga hapa dia..ila jaman we mtu daily unamsaidia tuu ye hana msaada kwako wwt kwako utajifik vipi

aisee nimependa reply yako kiukweri..unaonekana ni mtu kind kupitiliza na mwoga kumpa mtu live,hii mda mwingine ni tatizo..huwezi kumfuraisha mtu kila wakati,anza kujipenda wewe.
 

Weweeeee!!?
Sio ndie ulie post thread juz kuwa kila mwanaume unaye anaye kupenda hudumu naye una msaliti hata kama anakupenda vp! Na ukasema hujui kwa nn!!
Sasa leo unataka nn tena kwa mshikaji!!!??
 
Muekye kyaa mashika shida tiifo kila andu na kuiyo nndu asauwa iwa na shida foo mankaa,thats what friends are for to help each other unless its not a genuine need.
 
Muekye kyaa mashika shida tiifo kila andu na kuiyo nndu asauwa iwa na shida foo mankaa,thats what friends are for to help each other unless its not a genuine need.

Ekhya mbee
 
Dada ukijisikia kumsaidia msaidie tu ,kufanyia Benki siotatizo,nyia akina dada tunawahonga sana mbona sisi hatusemi,nenda nchi jirani ya kenya msichana anavyo mpa offer boy friend wake,nyie wanawake wa kibongo nuksi kwelikweli mnataka kuchuna tu,lazima dada uwe mstaarabu, unatia aibu
 
 
huyo amekugeuza kitega uchumi afu kaka zetu siku hizi wanapenda sana kutumia pesa za madada kutimizia shida zao amka toka ucngizini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…