PweintiKwanza usiyaite manguo ya kijani,hiyo ni sare ya Chama.
Pili usimpangie mtu aamue nini, afanye nini,na kiwe nini,
Kila mtu anafanya anachoona kimemfaa
Anaitwa nani ?Nijuavyo alikuwa ni mtumishi wa umma huko Zanzibar.
Sasa hayo manguo ya kijani vipi tena leo?
kwani hujui kuwa watumishi wa umma wote ni makada wa ccm?Nijuavyo alikuwa ni mtumishi wa umma huko Zanzibar.
Sasa hayo manguo ya kijani vipi tena leo?
First gentlemanAnaitwa nani ?