Huyu mzee alijiunga na CCM lini?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Nijuavyo alikuwa ni mtumishi wa umma huko Zanzibar.

Sasa hayo manguo ya kijani vipi tena leo?
 

Attachments

  • Screenshot_20221208-103437_Instagram.jpg
    66.3 KB · Views: 6
Kwamba hujamjua First Gentleman wetu wa Nchi?

Mwache ampetipeti Mama yetu huko Makao Makuu, unajua Mama mwenyewe amerudi safari juzi tu kutoka kututafutia mahela ya kujenga matundu ya vyoo huko Duniani 🤪
 
Neno MANGUO linaakisi uwezo wa fikra zako.
 
Manguo ya kijani, hakika ni mabaya...utadhani bustani ya mboga mboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…