Huyu mzee ananifanya nionekane chizi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana mpango wa kuweka viwanda 30 hapa tz Jomoniiiii!!!!
 
Hahahhahahaha yaani si kwa kumpamba kule...sawa basi nguo hazionyeshi bilionea... jamani hata afya na ngozi????
Mimi nguo sikuwa na shida nazo, ila afya, nikajisemea kimoyomoyo kama kweli ni billionea, basi maradhi yanamfanya asifaidi pesa zake. Maana kuna ile limit pesa ya kununua chakula kizuri unayo lakini afya inakukatalia usile vizuri. Basi tufanye yameisha itapendeza!!
 
Mwache bilionea uchwara banaa hahahahahahaha ila sijui alikuwa anawaza nini mpaka kuibuka eti kutaka kwenda kununua nyumba za bilioni karibu mbili wakati laki ya kununua kitu chenye hadhi tu imemshinda. Duniani kuna mambo aisee. Halafu nikikumbuka na ile pozi yake ya mkono mmoja mfukoni na tai take aliyotililia hahahahahahahahah

View attachment 627513 huyu mzee ananifanya watu wanione labda naugua kichaa ndo sababu nacheka muda wote..
 
Ndio, kama mtu anamihela yake ipo uswis anaitoaje sasa muda huo huo? Unaijua 25% ya bilion 2 wew? Unawezaje kutembea nayo usawa huu?

Unataka kunambia kuwa hakuna watz wakawaida kabisa na wanamijihela yao uswis na nchi zingine za ulaya?
Ishu hapa ameharibu Mnada na kuotoendana na mashart ya mnada,,,,ishu siyo hela ziko WAP.
 
Wanachotaka yono ni pesa au appearance ya mtu? Wampe tu mzee wangu, akale bhata.

Watanzania tuache ushamba wa kumjaji mtu kwa macho. Huo ni umaskini ulio kithiri. Ndio maana tunachunguzana had majumbani tunakula nini.

Umbea tu basi.
Hivi wewe unaelewa unachozungumza au ni walewale kama huyo mzee?, kama watu wangemdharau kwa muonekano asingekubaliwa kushiriki kwenye mnada na kushinda nyumba zote tatu, kitendo chake cha kushindwa kulipia 25% ya nyumba hata moja kama masharti ya mnada yanavyotaka ndiyo kinachofanya watu wamshangae.
 
Ndio, kama mtu anamihela yake ipo uswis anaitoaje sasa muda huo huo? Unaijua 25% ya bilion 2 wew? Unawezaje kutembea nayo usawa huu?

Unataka kunambia kuwa hakuna watz wakawaida kabisa na wanamijihela yao uswis na nchi zingine za ulaya?
Sasa si aliambiwa mapema masharti ya mnada?, kama alikuwa hana 25% kwanini ashiriki huo mnada?, hiyo maana yake huwezi kushiriki mnada kwa sababu ktk mnada wowote, vigezo ma masharti lazima yazingatiwe, kinyume cha hapo itaonekana kulikuwa na njama za kumpendelea huyo mzee na watu watakosa imani na dalali
 
Maandalizi mzee Dr. kwa ajili ya mnada Mwingine..
 

Attachments

  • Screenshot_2017-11-10-14-30-17.png
    61.9 KB · Views: 43
Sasa hapo unajadili nin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…