Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
naongeza hamsini ...Mzee Nouma aisee! Yeye alikua anasema itapendeza mill 800, au tufanye million 900
alivyokuwa anaongea kwa kujiamini sasaHahahhahahaha yaani si kwa kumpamba kule...sawa basi nguo hazionyeshi bilionea... jamani hata afya na ngozi????
Imenibidi nitoke sebuleni kwasababu ninacheka mfululizo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Namaliza kazi zangu sahivi nimefungua huu uzi naonekana kituko usiku hui mwenyenu nacheka [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji3]
Ebna sure boy nn?
wala sio peke yako mi ndio bado nacheka mpaka machozi, mzee kauaNamaliza kazi zangu sahivi nimefungua huu uzi naonekana kituko usiku hui mwenyenu nacheka [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji3]
Hahahahaa 700 haitadhuruKwa kweli hata mimi nimecheka sana
Kwa mwenye Bunddle ya kutosha anaweza kumwangalia hapa alivyo serious kwenye manunuzi, atakuwa sio mzima huyu jamaa
Huyu mzee noma sana. Nadhani ilikuwa mbinu yake ya kuhamasisha industrialization ili kuendana na kasi ya Magufuli. Halafu pia duh, amekuwa maarufu ghafla, yaani ameona haiwezekani afe kizembe bila kufahamika na watu wengi:
au 800 itapendezaHahahahaa 700 haitadhuru
Aaaaaa hMzee Dr Louis hela anayo na atalipa wote mtashangaa....ni mtaalamu WA masuala ya Chemicals don't write him off.....huyu alikuwa anakwenda pale chuo Moscow peku peku
Kumbe unamjua mkuu!?? Hebu tuambie anaishi wapi!?? Naanafanya kazi gan kwasasa!??Mzee Dr Louis hela anayo na atalipa wote mtashangaa....ni mtaalamu WA masuala ya Chemicals don't write him off.....huyu alikuwa anakwenda pale chuo Moscow peku peku