Ha ha ha msukuma hana majigambo ya kizungu.NI MSUKUMA
Ni kwel maana warembo kwa pesaa walianza kuleta shobo hapoMzee kaamua kujizolea kiki....Kwa hizo figure alizokuwa anaruka nazo angeweza hata kulala na hao wadada wa Yono baada ya mnada kuisha tu.
25% ndio imempindua chali otherwise baada ya masaa kadhaa angeweza kung'oa kina hawa wa kutosha na kuspend nao kwa mtaji wa laki 2/3.
Lakini tuwe wakweli, mzee huyu amejifunzia wapi kutoa ahadi hewa au kufanya manunuzi hewa, tena kwa ujasiri mkubwa? Nani role model wake? Nadhani alikuwa na lengo la kufikisha ujumbe kuwa utoaji wa ahadi hewa huvunja sana moyo wale waliotarajia hiyo ahadi pindi isipotekelezeka. Sidhani kama huyu mzee alikuwa na nia nyingine zaidi ya hiyo.
Stori ya huyu mzee Jana imenifanya nyumbani wanione chizi tena wananiuliza mwenzetu Leo mbona bize hivyo halafu wacheka pekee yakoNamaliza kazi zangu sahivi nimefungua huu uzi naonekana kituko usiku huu mwenzenu nacheka [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji3]
Hii ndio Bongo Dasalamaaaaaaa hakuna kama Bongo TzHii wiki kazi kweli kweli huku wakili feki kule tajiri feki [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwa kweli hata mimi nimecheka sana
Kwa mwenye Bunddle ya kutosha anaweza kumwangalia hapa alivyo serious kwenye manunuzi, atakuwa sio mzima huyu jamaa
Huyu ni Baba yake HamorapaAmeosha sana kumbe ukitaka kuuza tafuta kiki tuu
Aiseee ni ubunifu tu matukio Bado ni mengi sana aiseeee.Kama hili la mzee ni full ubunifuIla da na mm nataka kuwa maaruf nifanye tukio gan hadimu maana hapa town ukitaka ujulikane fasta kiki tu ndio soln
Mkuu usicheze na PESA kabisa tena ukishatamka bilioni mbele ya hadhira aisee hata maji ya kunywa watakuambia usiyanywe mzee tunakunywesha mzee usipate shidamm waliponiua ni hao wanaompepea dah nahisi walishaanza kumuomba na namba ya sim...maana wadada walijiongeza sana mzee hadi anafutwa jash[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli aisee ....Itachukua miaka 100 bongo movie kumfikia huyu mzee
1969 ?Huyu mzee namfaham, ni madr. wa mwanzo kabisa kugraduate urusi mwaka 1969 kutoka Tanzania. Mara nyingi mida ya jioni huwa anapatikanika pale library ya Indian cultural center, kisutu.
Hivyo c vyema kumpimia mtu kwa macho, huwezi jua amejipanga vipi
HeheheeeeeeeeWahaya Mungu anawaona mjue
Jana ilikua siku yake murua kabisa kulala na mrembo wa bongo movie, basi tena bank wamekatisha ndoto zakeMzee kaamua kujizolea kiki....Kwa hizo figure alizokuwa anaruka nazo angeweza hata kulala na hao wadada wa Yono baada ya mnada kuisha tu.
25% ndio imempindua chali otherwise baada ya masaa kadhaa angeweza kung'oa kina hawa wa kutosha na kuspend nao kwa mtaji wa laki 2/3.