Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 667
- 1,582
Hakuna Siri kwa anachopitia huyu Mzee Misiba ya watu wake wa Karibu na anaowaamini wanavyouwawa kila uchwapo
Pole Wayahudi wamekusudia kumuua kwa maradhi ya Pressure tu kutokana na umri wake kama walivyomuua kwa kihoro na pressure Abdul Nassir wa EGYPT aliekuwa Kiongozi mkuu kishawishi katika umoja wa kuifuta Uyahudi Kwenye ardhi ya Ahadi
Mikoba Hiyo kwasasa ameamua kuichukua Mzee Ayatollah Khamenei ambae kiumri amefika 80 maana Israel anapiga kulia na kushoto na Utu uzima unamfanya Mzee asichutame kwa aibu.
Pole Wayahudi wamekusudia kumuua kwa maradhi ya Pressure tu kutokana na umri wake kama walivyomuua kwa kihoro na pressure Abdul Nassir wa EGYPT aliekuwa Kiongozi mkuu kishawishi katika umoja wa kuifuta Uyahudi Kwenye ardhi ya Ahadi
Mikoba Hiyo kwasasa ameamua kuichukua Mzee Ayatollah Khamenei ambae kiumri amefika 80 maana Israel anapiga kulia na kushoto na Utu uzima unamfanya Mzee asichutame kwa aibu.