Huyu mzungu alinichukulia poa, nimemuumbua

Huyu mzungu alinichukulia poa, nimemuumbua

tutuberti

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2023
Posts
403
Reaction score
594
Wadau habarini kama kawaida yangu kuleta visa vyangu mbalimbali kwalengo la kujifunza na kuuaminisha umma juu ya mambo kadhawakadha

Ilikuwa ni Jumapili moja yamwzi april nilikua masaki na nilialikwa na mama mmoja Mzungu raia wa Marekani ambae alikua ni muumini mwenzangu kanisani

Sasa nafika alikua ameandaa chakula na nyama ilikuemo... baada ya kuongea kidogo alitakiwa akachukue mayonaizi jikoni kwenye refrigerator yakule...

Kuna mtoto wake dogo akawa anachukua zile nyama anakwenda kuficha kwenye chumba kingine mimi namchora tu

Yaani I think ilikua ni kama jokes kwao, amedekezwa mno... mara anachukua tena anazileta mezani...

Mama yake anasema tu wee fulani achaa ila kwa kiingereza...

Sasa yule mama akawa anapitisha juice tundu la pua OMG na kwenda tumboni... yaani ana pipe yake anaitumia kufanya hivo... na alifanya hivyo tukiwa wawili sasa...

Hio ni saa 11 hivi apo...
Nikajifanya kushtuka ila sikushtuka ataa kwa sabb hakuna kipya kwangu...

Nikajua tu ana nguvu za ziada
Nikaanza kumletea ukorofi as alinichukulia layman ...

Kwanza nikaibana ile pipe kwa macho yangu tu,akashtuka mpaka juice ikamwagika...

Hajatulia nikatazama juu ya ceiling.. Nikazikamata zile material maalum za ceiling na kuwa kama nazipenyua zitoke juu

Oooh Tutu not like that,akalalama mno Basi kufikia apo kila mtu akawa amemjua mwenzake ni mtu waaina gani

Akawa anacheka tu, ceiling nilizikunja kunja baadae zikarudi kuwa sawa. Haya mambo utoambiwa nayeyote yule ni elimu pana mno...

Kwa kumsaprize wkati wa kuondoka nikapita ukutani kavu kavu mpaka nje...mpaka leohaamini kua ni mimi ameniganda mno awe karibu nami nimfundishe maarifa

Anapigasimu namuambia nipo home,akashangaa mno kwa sababukilikua kitendo cha dk2 tu.
 
Wadau habarini.kama kawaida yangu kuleta visa vyangu mbalimbali kwalengo la kujifunza na kuuaminisha umma juu ya mambo kadhawakadha

Ilikuwa ni Jumapili moja yamwzi april nilikua masaki na nilialikwa na mama mmoja Mzungu raia wa Marekani ambae alikua ni muumini mwenzangu kanisani

Sasa nafika alikua ameandaa chakula na nyama ilikuemo... baada ya kuongea kidogo alitakiwa akachukue mayonaizi jikoni kwenye refrigerator yakule...

Kuna mtoto wake dogo akawa anachukua zile nyama anakwenda kuficha kwenye chumba kingine mimi namchora tu


Yaani I think ilikua ni kama jokes kwao, amedekezwa mno... mara anachukua tena anazileta mezani...

Mama yake anasema tu wee fulani achaa ila kwa kiingereza...

Sasa yule mama akawa anapitisha juice tundu la pua OMG na kwenda tumboni... yaani ana pipe yake anaitumia kufanya hivo... na alifanya hivyo tukiwa wawili sasa...

Hio ni saa 11 hivi apo...
Nikajifanya kushtuka ila sikushtuka ataa kwa sabb hakuna kipya kwangu...

Nikajua tu ana nguvu za ziada
Nikaanza kumletea ukorofi as alinichukulia layman ...

Kwanza nikaibana ile pipe kwa macho yangu tu,akashtuka mpaka juice ikamwagika...

Hajatulia nikatazama juu ya ceiling..
Nikazikamata zile material maalum za ceiling na kuwa kama nazipenyua zitoke juu

Oooh Tutu not like that,akalalama mno
Basi kufikia apo kila mtu akawa amemjua mwenzake ni mtu waaina gani

Akawa anacheka tu,ceiling nilizikunja kunja baadae zikarudi kuwa sawa. Haya mambo utoambiwa nayeyote yule ni elimu pana mno...

Kwa kumsaprize wkati wa kuondoka nikapita ukutani kavu kavu mpaka nje...mpaka leohaamini kua ni mimi ameniganda mno awe karibu nami nimfundishe maarifa

Anapigasimu namuambia nipo home,akashangaa mno kwa sababukilikua kitendo cha dk2 tu.
Unatuchukuliaje
 
Wadau habarini.kama kawaida yangu kuleta visa vyangu mbalimbali kwalengo la kujifunza na kuuaminisha umma juu ya mambo kadhawakadha

Ilikuwa ni Jumapili moja yamwzi april nilikua masaki na nilialikwa na mama mmoja Mzungu raia wa Marekani ambae alikua ni muumini mwenzangu kanisani

Sasa nafika alikua ameandaa chakula na nyama ilikuemo... baada ya kuongea kidogo alitakiwa akachukue mayonaizi jikoni kwenye refrigerator yakule...

Kuna mtoto wake dogo akawa anachukua zile nyama anakwenda kuficha kwenye chumba kingine mimi namchora tu


Yaani I think ilikua ni kama jokes kwao, amedekezwa mno... mara anachukua tena anazileta mezani...

Mama yake anasema tu wee fulani achaa ila kwa kiingereza...

Sasa yule mama akawa anapitisha juice tundu la pua OMG na kwenda tumboni... yaani ana pipe yake anaitumia kufanya hivo... na alifanya hivyo tukiwa wawili sasa...

Hio ni saa 11 hivi apo...
Nikajifanya kushtuka ila sikushtuka ataa kwa sabb hakuna kipya kwangu...

Nikajua tu ana nguvu za ziada
Nikaanza kumletea ukorofi as alinichukulia layman ...

Kwanza nikaibana ile pipe kwa macho yangu tu,akashtuka mpaka juice ikamwagika...

Hajatulia nikatazama juu ya ceiling..
Nikazikamata zile material maalum za ceiling na kuwa kama nazipenyua zitoke juu

Oooh Tutu not like that,akalalama mno
Basi kufikia apo kila mtu akawa amemjua mwenzake ni mtu waaina gani

Akawa anacheka tu,ceiling nilizikunja kunja baadae zikarudi kuwa sawa. Haya mambo utoambiwa nayeyote yule ni elimu pana mno...

Kwa kumsaprize wkati wa kuondoka nikapita ukutani kavu kavu mpaka nje...mpaka leohaamini kua ni mimi ameniganda mno awe karibu nami nimfundishe maarifa

Anapigasimu namuambia nipo home,akashangaa mno kwa sababukilikua kitendo cha dk2 tu.
Sasa kanisani unaenda kutafuta nini? Si ufungue kijiwe Cha mazingaumbwe mtaani?
 
Yaani unajua bado sijaelewa. Nakuomba unielezeee. Wallah leo niko kapa. Hebu tufafanulie zaidi ndugu yangu naamini wengi hatujaelewa.
Soma utaelewa mbona? Alikuwa anakunywa juice pipe kaweka puani then inaingia tumboni.... nikabinya ile pipe kwa kuikazia macho tu...

Km haitoshi nikaipasua ceiling kwa kuiangalia tu then nikairudisha... mwisho nikapita ukutani badala ya mlangoni kumuonesha yeye si kitu

Nb..nimzungu uyu mama
 
Back
Top Bottom