Wakuu hii tabia naona sasa inaeendelea hapa bongo kwenye music, maana vijana wanapenda sana mteremko na kutoka kwa kutumia migongo ya watu, sasa huyu jamaa anajiita JAY MASWAGGER, ame copy huu wimbo hapa
Et mwenyewe mwanzon kaenda kwa mganga na kumwambia "anataka kuwa kama sharo milionea" den producer wa hiyo audio yupo pia kwenye icho kichupa inaonekana wamekubaliana