mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Unachezea bahati yako utakuja kuzalishwa na mhuni na atajutia maisha yako kua singo maza.
Shida gani hizo haswa unaogopa zitatokea mbeleni???
Bora muhuni mwenye uwezo wa pesa kuliko muhuni masikini. Kama huyu wa sasa anauwezo zaa nayeKwaiyo nitajuaje Kama huyu sio muhuni??? Watu wanabadilika
Huu mtihani kweli kwasababu wewe unaogopa yeye ni mhuni atakuacha single maza, yeye anaogopa wewe ni mhuni una mtu wako mwingine.....Singo maza kuwa
Bora muhuni mwenye uwezo wa pesa kuliko muhuni masikini. Kama huyu wa sasa anauwezo zaa naye
Wewe inatakiwa utandikwe viboko ukiwa unatembea bila tupu ili akili ikurudie
Zaa kwa sababu unapenda watoto , ukizaa kwa sababu nyingne tofauti ,utarudi apa kuita wanaume wote ni mbwaa.
Huu mtihani kweli kwasababu wewe unaogopa yeye ni mhuni atakuacha single maza, yeye anaogopa wewe ni mhuni una mtu wako mwingine.....
Sasa mkishindwa kukubaliana kitu kimoja itabidi hadithi yenu iishie hapo lazivyo mtaanza vituko....
Wewe zaa tu mkuu maisha ni kutake risk, akihudumia poa akiingia mitini nature itaamua .[emoji1787][emoji1787][emoji1787]watoto nawapendaa ila sina kazi ya kuwahudumia kupelekana ustawi wa jamii kila wiki ndio naogopaa
Sasa ushauriwe nn?? Huyo anayekupa shariti la mimba ndio muoane .
Huoni ni muhuni tu ?? Huyo muhuni tu kama walivyo wengine.
Yaaaan ni Bora kama umeamua kuzaa tu naye basi, Sio akudanganyee kifalafala Ivo.
HANA MPANGO WA KUKUOA HUYO.
Akuoe kwanza ndio uzae kuna kaka huko anawazalisha na haoi