Huyu ndie lucky Philip dube

bushland

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
7,015
Reaction score
4,985
Aliitwa Lucky Philip dube, jina la lucky alipewa jina Hilo na mama yake baada ya mimba zake nyingi kuharibika. Alianza Muziki tangi akiwa mdogo

Mwanamuziki wa reggae nchini Afrika kusini kuwahi kuuza mauzo makubwa ya Album zake "Album yake ya Prisoner Ni Album bora zaidi kuwahi kuuzwa miaka ya 1980/90.

Ameigiza movie kama vile "GETTING LUCKY", LUCKY STRIKES na VOICE IN THE DARK. Mkewe aliitwa zenele na alizaa nae watoto Saba
Kanuni za maisha yake Ni kama ifuatavyo, Hakuwahi kuvuta Bangi maisha yake yote,

Wala bangi wala kilevi chochote katika maisha yake yote na alifanya hivo ili aweze kuwa Baba bora kwa watoto wake na vijana kwa jumla. Alipinga Sana ubaguzi wa rangi vita na uhalifu wowote.

Aliuliwa huko Johannesburg katika kitongoji cha Rosettenville jion ya tarehe 18/10/2007, na wauji katika tukio Hilo walifungwa maisha.
Baba wa taifa Hilo Nelson Mandela Ni mmoja wa watu maarufu waliohudhuria mazishi yake.

 
Album ya Prisoner ilitoka Mwaka 1991, Slave ndio ilitoka 1990. Ni kweli hakuwahi kutumia vilevi ila watu wengi hawachukulii km Wine ni kilevi japo inawezekana pia kutowahi tumia. Kuhusu mauaji yake sio wivu km mchangiaji mmoja alivochangia, ila nikutokana na watu kvojua sababu halisi za mauaji yale hvyo kila mtu anasema lake. Km ni wivu basi angeuawa miaka ya 90 ambayo alikua namafanikio makubwa km album bora, Tunzo mbali mbali,kuuza nakala nyingi na nyimbo zake kushika chat za juu bill board. Kifo chake wengine wanakihusisha Na mauaji Ya Mwanamziki wwenzie Senzo, wengine wanahusisha na Siasa za SA
 
Different colour one people
 
Hata kwa bunduki, siamini kwamba alikuwa hatumii bangi, wala pombe....
Hapo bado hujanidanganya
Hapa ndipo ambapo ma rasta wengi huwa wanamuonaga snitch,zipo evidence za wazi zilikuwa zinaonyesha kuwa jamaa alikuwa anapiga mmea sasa kitendo cha kukataa kuwa hajawahi vuta bangi wakati amewahi(kwa mujibu wa jamaa zake wa karibu) kinamfanya yeye aonekane rasta mnafiki
 
Mimi pia Ni rasta lakin sio mtumiaji wa bangi wala sigara? ILA kinywaji napiga,
That's means sio kila rasta lazima avute au kunywa atii
 
Mimi pia Ni rasta lakin sio mtumiaji wa bangi wala sigara? ILA kinywaji napiga,
That's means sio kila rasta lazima avute au kunywa atii
i know that kwamba hupaswi kupiga mmea au kufuga dread ili uwe true rasa,but hiyo ni kwa mujibu wa watu wake wa karibu
 
Hili dude bwana,
Hili dude bwana,
Hili dude bwana weee,
La kimataifa,
Ukienda sauzi afrika kila kona,
______________________________
Ukiniambia Rastafar hawaashibi moshi ntabisha hata ukinipeleka kwa baba jesca.
 
Jamaa ni typically snitch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…