STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Kuna mdada hapa mtaani namsikia anamsifu
mumewe kuwa hakuna mwanaume muaminifu
kama mumewe, kwa kuwa toka jamaa kanunua
simu ni mwaka wa 3 na kila akiaangalia simu,
Inbox- Empty, Sent Items- Empty, Outbox-
Empty...naomba tumpigie makofi mdada huyu...!!
mumewe kuwa hakuna mwanaume muaminifu
kama mumewe, kwa kuwa toka jamaa kanunua
simu ni mwaka wa 3 na kila akiaangalia simu,
Inbox- Empty, Sent Items- Empty, Outbox-
Empty...naomba tumpigie makofi mdada huyu...!!