Mimi ni Arsenal, Real Madrid damu mama....sijawahi kumpenda Messi wala Barcelona yake.
Wadunde midundo yao ila hakuna anayemzidi umaarufu Michael Jackson....sio vijijini wala mjini kote beki hazikabi
Avemaria umbeya umeanza lini vile? Halafu nahisi kama hukupendezi hivi...
Yaani ni swali ikiwa upo Mbeya...Mkuu umbeya ndio nini?