Huyu ndio Cristiano Ronaldo Dos Santos Aveiro!!!

Huyu mnyama cr7 anaweza kucheza mpaka akiwa na umri WA 50years!
 
Cc PNC 1 kubwa la maadui njoo huku andunje wako anadhalilishwa huku,

5 years mfululizo top scorer UEFA-King-cr7
 
Nyie ni vilaza kweli kwahiyo tokaa awe mfungaji bora mara 5 mfululizo ndo atakuwa bora kuliko Messi? mbona Cr7 toka aje spain 2009 ameshinda laliga mara 2 tu...mbona hilo Hamsemi?? Mbona messi kashinda 4 consecutive ballon dor nalo hilo hamsemi?? Mbonaa Messi amemshinda Ronaldo El classico Nyingi Nalo Hamsemi?? Mbona rate ya ufungaji ya Messi ni 0.8 per match na Cr7 ni 0.7 Mbona Hilo Hamsemi??

Finally ata Malegend wa soka washasema Messi is Best More than Ronaldo.....kamsikilize Ferguson....wenger...zidane....Figo... De Lima na wengine Kibao tena wote ni wanaojua mpira kuliko ata sisi...!

ila CR7 ni wanawake wengi wamejitokeza wakidai kwamba ni bora Kuliko MAGICAL MESSIAH1

[HASHTAG]#Gongelea[/HASHTAG] na Nyundo
 

Wewe Jamaa upo kiushabiki sana alafu sijui huwa mnapata wapi hizo kauli eti FERGUSON, ZIDANE, FIGO KASEMA MESSI NI BORA KULIKO RONALDO WEWE LETA HAPA EVIDENCE ZAO TUKUELEWE KWA PAMOJA VINGINEVYO UMEWATUNGIA HIYO HABARI...Mkuu hayo mambo yako ya rate ya ufungaji unayajua wewe...hapa tunataka GOALS na ACHIEVEMENTS Bhasiii, isitoshe nyie FAN BOYS WA MESSI hakuna ata kimoja alichofanya RONALDO mkakikubali ata kwenye Ballon D'or zake za nyuma mlitoa visababu vya ajΓ bu ajabu tu lakini haisaidii na kwa wanaojua soccer Huko Ulaya wanampigia kura na anaendelea kushinda kama kawaida...hivyo [HASHTAG]#BetterStopTalking[/HASHTAG] and Agree to the Beast Ronaldo!!!



Heeh!...kama huamini angalia hapo MESSI KAPOTEZWA TENA KWENYE TUZO YA ONZE DE ORo KABWAGWA MARA MBILI YA ASILIMIA ALIZOPATA...



Hiviii ni kuulize tu umewahi kujiuliza kuwa...ina maana wewe ndo unajua sana Mpira kuliko hao wanaowapigia kura wachezaji husika?? Au ndo tuseme kila Siku hao wanaompigia kura Ronaldo wamempendelea na wanachuki na messi ila messi ndo anastahili kushinda tu???....elewa kuwa WENZETU KULE DUNIA YA KWANZA HAWANA UNAZI KAMA ULIOJAA KICHWANI MWAKO...WAPO VERY SMART WANAMPIGIA MTU KURA KUTOKANA NA MAFANIKIO ALIYOILETEA TIMU YAKE KATIKA KILA MSIMU HUSIKA BILA KUJALI HISTORIA YAKE YA AWALI AMA AINA YA UCHEZAJI WAKE PINDI ANAPOKUWA UWANJANI MAANA HIZO NI MBWEMBWE TU...Na ata messi mwenyewe anajua hilo ndio maana hukaa kimya na kuchukulia kukosa Tuzo ni kama challenge tu kwenye kazi yake...ILA NYIE WASHABIKI OVYO NDO MNAJIFANYA HAMUELEWI NA HAMTAKI KUELEWA ATA MKIELEWESHWA...Ndugu labda niliseme hili tena kwa herufi kubwa kuwa "HAIWEZEKANI MTU MMOJA KWA MISIMU YOTE MFULULIZO AKAWA BORA KULIKO WENZAKE MAANA ATA YEYE NI BINADAMU KUNA MSIMU ANAVURUNDA"...Na ndio maana Kuna msimu anachukua MESSI mwingine RONALDO hivyo ndivyo Soccer la wenzetu lilivyo na ndio maana huwa sio watu kama nyie mnaotoa hizo tuzo wale ni professionals wanaelewa nini wanachofanya...ila ungekuwa wewe ndo mwenye dhamana ya kutoa hiyo tuzo UNGEMPA HUYO MESSI ADI YEYE ASEME BASI BILA KUJALI MAFANIKIO YAKE KATIKA MSIMU HUSIKA AMEZIDIWA NA WENGINE...Sasa wenzetu hawapo hivyo na ndio maana soccer lao limeendelea sana huwezi linganisha na sisi.
 
Huyu Jamaa ukimchukia ndo anazidi kubeba Tuzo tu.

 


Cristiano ameingia katika list ya wafungaji bora 6 kwa timu zao za taifa Wa muda wote ALL TIME TOP SCORER FOR THEIR NATIONAL TEAMS.
 
Nasemaga cku zote.......kumfananisha king na ronaldo ni kupoteza muda tu na MB zinaenda buree pacpokuwa na adv yoyote. Ki2 kinajulikana wazi kabissa hata mtoto aliyeko tumboni mwa mama yake anatambua fiika MESSI hana mpizani. MARADONA na KIPELE washafunikwa ile mbaya.sembuse RonaldoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…