Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
- Thread starter
-
- #21
Sio mchezo mkuu.Ahaaa fundi chuma weeeee
Huyo ndege nadhani ni WOODPECKER.*Na kiota chake anajenga kwa kudonoa na mdomo, katikati ya mti mkubwa, na kiota chake kina uwezo wa kufikiwa na nyoka tu, ndio adui wake mkubwa na kiota chake, anakitengeneza na udongo wa kwenye maji ya bwawani, na akizaa watoto, mlango wa kiota chake anautengeneza vizuri hata adui wake mkubwa nyoka aingii kwenye kiota chake huyo ndio fundi chuma.
Naomba nipishane na wewe kidogo, hii sifa ni ya ndege wawili tofauti, kuna gotagota na Fundi Chuma, Fundi Chuma hutafuta sehemu nzuri ya mti na kuweka kiota chake ambacho ni kweli huwa imara kwa vile anachanganya na kila chochote anachokiokota na watoto wakikua huondoka na mwisho huwa ni makazi ya nyoka, huyu gotagota yeye ndio hotoboa mti kama picha zinavyoonekana hapo juuNdege mwenye maajabu kushinda ndege wote ulimwenguni, nyumba yake anayolala...kaijenga kati kati ya shina la mti, mfano mti wa mbuyu katoboa pango, mule na ukibahatika kuona nyumba yake, anayolala utakutana na mauzauza huko, ya shanga, nywele za binadamu Nk: mpaka sisi baadhi yetu, ukiondoa bundi wanasema "ndege mchawi, huyo ndio "NDEGE FUNDI CHUMA" NB...kama yupo mwingine anaejua maajabu ya fundi chuma, aendelee kutupa taarifa zake wakuu...
Ndege huyu ndio yule anaitwa Woodpecker ama?Ndege mwenye maajabu kushinda ndege wote ulimwenguni, nyumba yake anayolala...kaijenga kati kati ya shina la mti, mfano mti wa mbuyu katoboa pango, mule na ukibahatika kuona nyumba yake, anayolala utakutana na mauzauza huko, ya shanga, nywele za binadamu Nk: mpaka sisi baadhi yetu, ukiondoa bundi wanasema "ndege mchawi, huyo ndio "NDEGE FUNDI CHUMA" NB...kama yupo mwingine anaejua maajabu ya fundi chuma, aendelee kutupa taarifa zake wakuu...
Ndege mwenye maajabu kushinda ndege wote ulimwenguni, nyumba yake anayolala...kaijenga kati kati ya shina la mti, mfano mti wa mbuyu katoboa pango, mule na ukibahatika kuona nyumba yake, anayolala utakutana na mauzauza huko, ya shanga, nywele za binadamu Nk: mpaka sisi baadhi yetu, ukiondoa bundi wanasema "ndege mchawi, huyo ndio "NDEGE FUNDI CHUMA" NB...kama yupo mwingine anaejua maajabu ya fundi chuma, aendelee kutupa taarifa zake wakuu...
Ndio mwenyewe mkuu.Fundi chuma. Ni huyu sio mkuu?
Ebu tupe sifa zake, na wewe mkuu..ah kumbe chechengo!namfaham huyu ndege
Ubarikiwe sana! Mkuu..mods nipo hapa nakulindia uzi wako usijali
Safi sana mkuu..Huyo ndege nadhani ni WOODPECKER.
Majina labda ndio tofauti, lkn mie naona huyo huyo fundi chuma, kikwenu mnamuita gota gota mkuu..Naomba nipishane na wewe kidogo, hii sifa ni ya ndege wawili tofauti, kuna gotagota na Fundi Chuma, Fundi Chuma hutafuta sehemu nzuri ya mti na kuweka kiota chake ambacho ni kweli huwa imara kwa vile anachanganya na kila chochote anachokiokota na watoto wakikua huondoka na mwisho huwa ni makazi ya nyoka, huyu gotagota yeye ndio hotoboa mti kama picha zinavyoonekana hapo juu
Inawezekana mkuuNdege huyu ndio yule anaitwa Woodpecker ama?
Sijachanganya mkuu fundi chuma anatoboa mti, tobo na kutengeneza kiota chake, akichanganya na udongo, kwenye kiota chake kama nilivyoeleza, utakutana na nywele za binadamu, shanga, hadi baraghashia, na bado anawalinda watoto wake humo ndani ya kiota chake akiwa, ayupo ameenda kuwatafutia chakula, watoto wake hakuna adui atakaeingia humo mlangoni kwenye kiota anatengeneza kufuri la lililochanganywa na tope na majani ya nyasi mkuu.Mwandishi amechanganya sifa za ndege wawili fundi chuma yeye hujenga kiota kwa kutumia tope pamoja na miti hata mifupa ya wanyama waliokufa...yeye hana sifa ya kutoboa miti,bali hujenga kwenye matawi ya miti.Wakati mwingine huitwa "Ndege Mfalme"kwakuwa nyumba yake ni kubwa kama kasri ya Mfalme!
Mkuu hawa ndege ni wawili tofauti kabisa angalia hizo picha vizuri halafu kuhusu kabilaMajina labda ndio tofauti, lkn mie naona huyo huyo fundi chuma, kikwenu mnamuita gota gota mkuu..