dah ni shiida labda km hit and run!!
Mzungu wa kupika, nywele mkia wa Farasi.Pengine ni mzungu
Pengine ni mzungu
kama sio hivi vipodozi tuko wengi
Dah hta mm km wewe ctaki kabisa Kuamini yaani uhandsome wote wa kiba ndo aishie hapa
umeona eeeh
yani mi hapana pliiiz
Je na yule aliye zaa nae ni yupi? je ni matunda ya Europe tour?
Mkuu ni yupi? yule aliye zaa nae unamfahamu?
Labda anampenda kweli.
ni mbaya kwakweli
nimewashangaa sana wenzangu!!what if kweli ndo mpenzi wa kiba?mmesema mbaya,mzee,kakomaa!!its his choice,nna uhakika sisi tukitupiamo picha zetu ni vituko zaidi ya 'wifi',hatuwezi kumpangia nyoka tundu la kuingia,hatujui utamu wa tundu lenyewe!!ni sawa kumpangia dimond tundu la kuingia!!#absurd#,i tend to deffer hapa!