Exactly.Wazuri wenye roho mbaya.
Rwanda kuna vinu balaa
Ova
Wadada wa huko wajanjajanja sana aise ....kuna member Humu anaitwa siyabonga109 anawajua vilivyo hukoTwende tukaopoe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huu uzi mbona KE tumeukwepa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wamechoka sana,ngozi zao zimekauka sana...iondoe hii picha Tanzania kuwa wanawake wazuri kuliko hawaWatoto Wazuri tunao bhana. Hao wapo Mwanza Nyegezi.
Ahhahaahahahahahqhkweli jamiiforums imekua ya kimataifa miss rwanda nae anaongelewa humu
Hiyo picha nimeipiga usiku tu. Mbona wapo vizuriHawa wamechoka sana,ngozi zao zimekauka sana...iondoe hii picha Tanzania kuwa wanawake wazuri kuliko hawa
Ni wazuri na wana roho nzuri....hukukosea mkuuSikufanya kosa kuoa rwanda
?Wazuri wenye roho mbaya.
Ay ndo kasababisha yote hayakweli jamiiforums imekua ya kimataifa miss rwanda nae anaongelewa humu