aliwah kutafuta kick kupitia uwoya ikawa failure, akajitutumua mauno kugandamizia kwa fall ipupa ikawa failure, bongo movies kajaribu ikawa failure, kuimba ikawa failure, kandanda failure, sasa kamganda diamond, yaan kama mchele ni pishori na kitumbo
yani hakuna hata post moja iliyomsifia
aisee we jamaa ni mmbeya post ya pili hii nakuta bado unajifanya kujua insides za mastaa...au we ndo yule paparazi wa magazeti pendwa??mbona hamsemi mke wake sijui hawara yake ni mwizi mkubwa alimuibia mtoto wa kigogo mmoja (wa kiume) simu mbili bagamoyo baada ya kupata bed and breakfast wote na kulipwa 30,000
vile vile alishawahi mwibia mwenzake laki nne kwenye atm
me Alhaj deof
kwanini kila msanii adai kuibiwa nyimbo na diamond? walivuma akina Nature kipindi kile, akina Ay na Jd mbona hawana kashfa kama hizi? yapaswa tujiulize...
aliwah kutafuta kick kupitia uwoya ikawa failure, akajitutumua mauno kugandamizia kwa fall ipupa ikawa failure, bongo movies kajaribu ikawa failure, kuimba ikawa failure, kandanda failure, sasa kamganda diamond, yaan kama mchele ni pishori na kitumbo
mimi kumbuka warembo wa mwanzo tz Tabasamu ngongoseke nadhani ndie huyu anayeitwa Lucy kihwele kwa sasa wa multichoice na yule mwenzake ana maeda sijui kapotelea wapidaaah username yako imenifanya nicheke mno,,umenikumbusha yule ngongoseke wa nigerian movies