Huyu ndio mtu mwenye nguvu ya ushawishi Tanzania kwa sasa

Huyu ndio mtu mwenye nguvu ya ushawishi Tanzania kwa sasa

samakiurembo

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2021
Posts
445
Reaction score
689
Jamaa ana nguvu ya kuvuta watu na kuwaweka nyuma ni watu wachache sanaa wanaobarikiwa nahii nguvu ambayo mungu huwapa ukiachilia Yesu Kristu, mtume Muhamad, Haji Manara, John Pombe Magufuli, Tupac, Dr Slaa, Alphonce Mawazo, Kinjekitile Ngwale na nk. Ni mifano ya watu wanaopewa nguvu ya kuvuta watu kupitia midomo yao

Jamaa ananguvu ya ushawishi na kuaminisha watu hata pale panaonekana hapawezekani watu wanaanza kuingia imani kua inawezekana kutokana na neno lake la tumaini na kutia moyo na roho ya kutokana tamaa mara nying mungu huwapa nafasi za uongozi watu hawa

Itoshe kusema Mandonga ndio. Mtu mwenye ushawishi Tanzania kwa sasa
image_search_1659964213146.jpg
 
Ana ushawishi kwasababu wabongo tunapenda vitu vyetu kinyume, mtu aliyeshindwa kupendwa/tajwa mara nyingi zaidi ya mshindi kweli ni kipaji.
 
Back
Top Bottom