Pilipilihoho
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 202
- 145
Mwanamke wa hivyo mmmh...wakuacha ipite kimya kimya kisa pesa imezungushwa na ndomu..atakuwa kimada .Mwanamke akikuta pesa kwenye mifuko ya suruali yako anazitoa kimya kimya na wala hatakwambia kitu.
Sasa akute umesahau kondomu kwenye mifuko ndio utajua kama umeoa kipaza sauti cha sokoni aua mtu!
Ndio maana mimi huwa nafungasha kondomu ndani ya hela, akiziona anachukua hela na kubakia kusonya tu.