Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Hii ni zaidi ya Tangazo la kazi aisee duh ila hongera sana umejitahd kuandika but i dont think kama utampata cause nasikitika vigezo vyote ulivyoandika ni km sifa za waume wa watu tayari.
 
Daah mwenye sifa hizo zote itapendeza sana km utamchonga mwenyewe utakavyo, maana tukisema umzae mwenyewe bado hatafikia hizo sifa unazotaka.
 
Duuuh wengi watafeli maana kama ni hesabu basi zote ni topic ya integration. ..!!
 
Too much selective, vigezo had vinaboa.
Huyo labda umuumbe/mtengeneze mwenyewe. Halafu punguza kujisifia mara ooh najua kucare, kupika, me msafi etc. Ungekua km unavyojisifia basi ungeshaolewa zaman lakn kwakua zero brain ndio maana umekuja kujinadi huku.
In love, affection is better than perfection.

Tchao
 
Sifa zote ninazo tatizo wanawake weusi sio type yangu.
Kilala kheri
 
Aiseee Leo akina Daby wamepatikana.Sipati picha wanaume walivyopanic.Dada yupo makini .Kaweka wazi msimchokoze.Kila raheli mdada
Haha
Flowerss utani mwingi huwa unaishia jukwaani hatuingii PM.
 
Una masharti mengi sana usije ukafa single
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…