Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Hutaki mhaya ila hujatueleza ww ni kabila gani.
 
mmmmh kwe vigezo hivi! utakosa mme wewe! huwez kumpata aliye na vigezo byote hivi,cha msingi mpendane vingine mtarekebishana tuu ktk mahusiano
 
thanks
 
wacha maneno koj.....a ulale dia
FT Real Madrid 7-1 Deportivo,
Asbuhi nawahi makao makuu ya biko nimeitwa kwenye interview na sidhani kama watanambia nisivae jeans au tishet, hawana masharti hayo, kipimo cha bahat ni kucheza BIKO na ww unacheza BIKO bila kujua
 
lala wewe
 
ahaa
FT Real Madrid 7-1 Deportivo,
Asbuhi nawahi makao makuu ya biko nimeitwa kwenye interview na sidhani kama watanambia nisivae jeans au tishet, hawana masharti hayo, kipimo cha bahat ni kucheza BIKO na ww unacheza BIKO bila kujua
ahhaaaaaa
 
Jinsi unavyojibu comment tuu inaonyesha upeo wako ulipoishia...na hayo ma sharti uliyoweka huku wewe ni Ze OO....hahaha kituko ya njanuary hii.
 
Umetaja Sifa zako 16, Nakuhakikishia vigezo vyote ninavyo, Ila kabla sijaja PM naomba nijue Umri wako kwa Sasa maana hicho ni kigezo kizuri kujua IQ yako ipoje. Pile Umetoa Masharti yote haya, Je, we ni Bikra au ndo ilishaondolewa? Kama haipo basi Punguza Masharti Utadoda Mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…